Friday 23 August 2013

Source of Mrs Kikwete's being labelled Hutu revealed

Rwanda was squarely attacked for uncovering a Wikileaks cable alleging that Mrs Kikwete is cousin of former Rwandan leader Juvenal Habyarimana as it was viewed as smear campaign. However, an anonymous writer, who seems to be conversant with Tanzanian politics, revealed on Jamii Forum, the country's most popular social media forum, that ruling CCM insiders were a genesis of calling Mrs kikwete a Hutu.
It is alleged that Kikwete's opponents way back in 2005 approached the US embassy, alleging that favourite candidate Kikwete was married to a Hutu, hence his pro-hutu stance in matters great lakes. This is extract from Jamii Forum post: "Pili ni taarifa za vyombo hivyo vya Rwanda kusema Mke wa Rais Mama Salma ni Mhutu,  Taarifa hii imelistua taifa na kuilazimu serikali kujibu tena kwa utulivu wa hali ya juu,  Binafsi nimesikitishwa sana kuona serikali inaamua kujibu taarifa hii ambayo kimsingi ilistahili kujibiwa kiplopaganda hivyohivyo na vyombo vyetu vya habari kwakuwa taarifa hii sio "ngeni" kabisa,  Kwa wale wasiojua nikuwa asili ya habari hii ya "Uhutu" wa mke wa rais wa Tanzania ni siasa za majita za 2005, Mtandao wa kijasu wa Wikileaks uliitoa habari hii tangu 2005 wakati wa harakati za uchaguzi wa Urais nchini Tanzania, ni Wanachama wa Chama cha Mapinduzi ndio waliopeleka habari hii huko wikileaks kupitia kambi zao za Uraia hasa kambi iliyokuwa ikiongozwa na Mwandosya,  Sasa vyombo vetu kwakuwa vimezoea propaganda za ndani yani za Chadema na CCM hivyo viliona kama habari ile ni mpya na yakustua sana havikujua hata cha kujibu,

No comments:

Post a Comment